msaada kuhusu nafasi za kazi za vodacom

Ninapajua vizur mm niliacha kazi pale wakat nalipwa laki 4 hv take hm miaka ya 09 wakat 2po victoria. Ndugu zangu kuajiriwa ni utumwa fikirien mambo mengine ww kazi yako jama punda unaumia ili mzigo wa bosi ufike
 
We unaejiita Obama wa bogo comment zako atakayekuelewa ni wale ambao hawana akili tu, machizi wenzio, haijalishi iwe customer care au kubeba mabox cha msingi hapa ni maslahi, ulaya wanabeba mabox lakini wanapata kipato kizuri, hawa vadacom wanatufanya watumwa kwenye nchi yetu na serikali ina inachekelea tu, nchi nyingine hawathubutu kufanya huo upuuzi
asante kwa matusi yako!
kitu ambacho nakataa mimi nimtu kukaa nyumbani bila kazi!
atakama kwenye mshahara hausave chochote,ila tu kukaa ofisini na wenzako unajua vitu vingi
hapo ndo utaweza kutengeneza channel za kupata ofisi nyingine na uzoefu wa kazi!

hii case ya huyu jamaa usiwalaumu vodacom maana hiyo kazi wame outsource kwa erolink
sasa hii kampuni ndo ina matatizo ya kuwakandamiza wafanyakazi wake
 
tatizo ni malipo mkuu sio aina ya kazi, kama pesa inasoma tutaafanya tu, we huoni mbeba box ulaya akirudi anatumia hela, wewe hapo customer care si utakuwa na madeni kila siku? issue ni pesa kaka sio aina ya kazi, umenisoma??????

nimekuelewa mkuu!
 
Pamoja na kupunguza mshahara pia wameongeza masharti ya kazi. Wakati mwingine unatakiwa uripoti kazini saa kumi na mbili kamili za asubuhi, ukikamatwa na simu hata chooni unafukuzwa kazi. Kila siku watu wanaacha kazi pale,
 
sio siri inaboa sana mi ndo ht huwa cjihangaishi kuomba huko,bora benk mara mia sio makampun ya cm ni washenz sn!halafu serikali imekaa kimya wakati wanatunyonya na kodi hawalipi!damn!
 
Sasa mbona mnatuchanganya?mara Vodacom mara Erolink!mimi nadhani itakuwa ni ajira kupitia Erolink!sio Vodacom moja kwa moja...
 
tatizo ni malipo mkuu sio aina ya kazi, kama pesa inasoma tutaafanya tu, we huoni mbeba box ulaya akirudi anatumia hela, wewe hapo customer care si utakuwa na madeni kila siku? issue ni pesa kaka sio aina ya kazi, umenisoma??????


Mabadiliko ayawezi kutokea kwa kuongelea JF pekee,,,,, Vyombo vya habari vipo ....Tujifunze kutumia vyombo vya habari
 
Mabadiliko ayawezi kutokea kwa kuongelea JF pekee,,,,, Vyombo vya habari vipo ....Tujifunze kutumia vyombo vya habari

Kwani JF sio chombo cha habari ? Wewe utakuwa umekariri chombo cha habari ni kile chenye Mtangazaji tu.

Umesoma seminary gani ? Mbona unafikra za kizamani sana

JF ni chombo cha habari tena chenye sauti kubwa kuliko hiyo Radio na TV yako hapo sebuleni kwako ! Learn it today.....
 
Kwa laki 2 na 40 ni bora kabisa kuwa mjasiriamali,kuna makampuni yananyonya sana wafanyakazi kama spanco,erolink,metl n.k,na serikali yetu sikivu imekaa kimya!!Sheria za kazi hazifuatwi hata kidogo.
 
Kwani JF sio chombo cha habari ? Wewe utakuwa umekariri chombo cha habari ni kile chenye Mtangazaji tu.

Umesoma seminary gani ? Mbona unafikra za kizamani sana

JF ni chombo cha habari tena chenye sauti kubwa kuliko hiyo Radio na TV yako hapo sebuleni kwako ! Learn it today.....

Wewe Wasema kwani kila mtu ana perception zake.......
lakini naomba upitie Takwimu ya watu wanaotumia mitandao
wEWE UMEFIKIRI ONE CHANNEL KUNA WATU THEN DONT USE UR CHANNEL
 
Dah hiyo ni posho kwa mabosi wa Voda halafu iwe mshahara kwa kijana wa watu...mmmh nyie Erolink hebu ongezeni chapaaa hiyooo boksi 2 na fourty haina TIJA hata kidogo
 
Laki 2 na 40 kwa mwezi? Khaaa voda ebu heshimuni utu wa mtu,assume mtu anakunywa chai sh 1,500/= msosi mchana sh 2,500/= na Usiku 2,500/= na Total kwa siku kula ni 6,500/= kwa siku 30 ni 195,000/= Kodi ya Chumba 50,000/= Umeme sh 15,000/=,Maji sh 15,000/,Nauli 30,000/= Total ni 305,000/= Bora alivyoacha kazi.
 
Kwani JF sio chombo cha habari ? Wewe utakuwa umekariri chombo cha habari ni kile chenye Mtangazaji tu.

Umesoma seminary gani ? Mbona unafikra za kizamani sana

JF ni chombo cha habari tena chenye sauti kubwa kuliko hiyo Radio na TV yako hapo sebuleni kwako ! Learn it today.....

Tv na radio ni main stream media na coverage yake ni kubwa kuliko hizi social media kama jamii forum.
 
Hapa nilipo sina kazi ya maana,naishi kwenye nyumba ya 1.2m kwa mwaka,watoto wanaenda shule,nakula.hata siku moja siwezi fanya kazi ya 240 kwa mwezi hata siku moja.bora niendelee na miangaiko yangu ya kushinda juani kuliko kujidai eti niko voda kumbe njaa tupu.wanavyoringa sasa na vijisenti vyao hivyo,kumbe wanavuta 240!
 
dah
wanawake sisi tunadharauliwa sana
ila sisi ndo mama zenu msijisahau
hapo utajitetea kwa kuandika k.ke!
Haya bwana

wewe kalagabaho what do you mean unaposema mambo ya kike, huuh..!kuna wanawake wengi tu
wanafanya mambo mazuri ya mafanikio hapa duniani kushinda hata mambo ya
kiume, kumbuka mama yako aliekuleta duniani pia ni wa kike, so acha
dharau,watch out kauli zako
 
wewe kalagabaho what do you mean unaposema mambo ya kike, huuh..!kuna wanawake wengi tu
wanafanya mambo mazuri ya mafanikio hapa duniani kushinda hata mambo ya
kiume, kumbuka mama yako aliekuleta duniani pia ni wa kike, so acha
dharau,watch out kauli zako

kuna watu mnapenda kudandia gari kwa mbele kama wewe
sasa ngoja nikueleweshe maana inaelekea hata kusoma comments na kuielewa umeshindwa soma post ya kalagabaho
na kisha soma comment kisha njoo hapa kama hujaelewa nitakuelekeza
asubuhi njema
 
Last edited by a moderator:
Haha mmechanganya madesa naomba auweke hapa huo mkataba tuone una headed paper ya Vodacom, eti 240,000/- kwa mwezi wakati hiyo ni traveling allowance ya 1 and half day kwa wafanyakazi wa Voda.
 
mshahara 240000 me mdogo wangu anafanya huko......walau asikae nyumbani ila nasikia inatakiwa walipwe zaid ila wazee wanapiga huko...management inajua wanawalipa wakati wahasibu wanachakachua nakuwapa madogo 240000 taarifa kutoka kwa mfanyaji makato hayo.watanzania tunatesana wenyewe na kuuana bila kujijua.mungu isaidie tanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom