Mkuu Minara na hizi nguzo za kuweka antenna za Radio zinatengenezwa kwa kufuata
1.aina na uzito wa hiyo antenna
2.uzito wa mnara wenyewe na Urefu wake
3.wind Loading hali ya upepo na aina yake sehemu utakao fungwa mnara.
na pia lazima ufungwe aviation Light (taa ya kutoa tahadhari kwa marubani wa Ndege wanapopita nyakati za usiku)
sasa kama urefu aujulikani ni shida kidogo,please fafanua zaidi tukupatie mnara unaostahili