Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Jaman naomben kujua kuhusu mikopo,
mm niko pale SAUT nachukua certificate ya ITT (INFORMATION TECHNOLOGY TECHNICIAN) je mwakan nikichukua Advanced Diploma naweza kupata mkopo? maana karo na marupu rupu ya naul na msosi aise gharama ni kubwa mno mpaka wa nyumban kwetu wanaona namalza hela tu!
Mwenye ufaham anijuze tafadhal
mm niko pale SAUT nachukua certificate ya ITT (INFORMATION TECHNOLOGY TECHNICIAN) je mwakan nikichukua Advanced Diploma naweza kupata mkopo? maana karo na marupu rupu ya naul na msosi aise gharama ni kubwa mno mpaka wa nyumban kwetu wanaona namalza hela tu!
Mwenye ufaham anijuze tafadhal