faustine mniko
Member
- Jun 12, 2017
- 54
- 9
- Thread starter
- #21
Ngoma mwezi wa 9 tarehe 16 ndan ya mjengoAisee mbona siku hazitembei nimechoka kukaa home nahamu nipae nije must nikutane na ma engineers
Ngoma mwezi wa 9 tarehe 16 ndan ya mjengoAisee mbona siku hazitembei nimechoka kukaa home nahamu nipae nije must nikutane na ma engineers
Bora wewe kijana umepata chuo na unajua umechaguliwa wapi... sie wenzio tumeomba vyuo toka mwezi wa tano mpaka sasa hatujui kama tutachaguliwa au la, na ni sehemu gani tutachaguliwaAisee mbona siku hazitembei nimechoka kukaa home nahamu nipae nije must nikutane na ma engineers
kama huna intrest na computer achana kabisa na computer sciencemhh mmeanza kunitisha maana hata mm nilitaka kuja must kwa course ya computer science level ya degree
uko sahh ndugu mm nmemaliza dip ya comp science kwenye chuo fulan bt najiona km cko vzur sana kutokana na nilichokipaa palekama huna intrest na computer achana kabisa na computer science
kuna watu wamezaliwa kuwa computer scientists sio watu watu wanaweza kuwa computer scientists
uko sahh ndugu mm nmemaliza dip ya comp science kwenye chuo fulan bt najiona km cko vzur sana kutokana na nilichokipaa pale
Unajua nn chuo ni mtu mwenyewe kujiongeza so usijali njoo tutupia kitabumhh mmeanza kunitisha maana hata mm nilitaka kuja must kwa course ya computer science level ya degree
Bora wewe kijana umepata chuo na unajua umechaguliwa wapi... sie wenzio tumeomba vyuo toka mwezi wa tano mpaka sasa hatujui kama tutachaguliwa au la, na ni sehemu gani tutachaguliwa
Kwani wewe umepata ufaulu ganBora wewe kijana umepata chuo na unajua umechaguliwa wapi... sie wenzio tumeomba vyuo toka mwezi wa tano mpaka sasa hatujui kama tutachaguliwa au la, na ni sehemu gani tutachaguliwa
Kijana kasome kozi uliyochaguliwana ukitafuta sana ushauri utaweza poteza hiyo fursa. Kitakachodetermine ubora wa utakachopata ni willingness na determination yako. Si kwamba kwa computer chuo hakitoi vijana wazuri, kama ndo ndoto yako kasome.Kwani wewe umepata ufaulu gan
Asante mkuu . pamoja sanaKijana kasome kozi uliyochaguliwana ukitafuta sana ushauri utaweza poteza hiyo fursa. Kitakachodetermine ubora wa utakachopata ni willingness na determination yako. Si kwamba kwa computer chuo hakitoi vijana wazuri, kama ndo ndoto yako kasome.
Mdogo wangu usiseme home of engineers sema home of students who pursue diploma or degree of engineering maana mziki wa kuwa engineer mwenye mhuri wake sio wa kitotoMbeya university of science and technology the home of engineers
Sawa mkuu ila hao kati yao so ndio engineers to beAisee mbona siku hazitembei nimechoka kukaa home nahamu nipae nije must nikutane na ma engineers