Habari zenu wana jamii?
Naombeni mnisaidie mawazo, nina jamaa yangu mmoja alikuwa akifanya kazi katika kampuni flani hapa mjini (DSM) zaidi ya miaka 10. Ila ameacha kazi na hakuwa kwenye good terms na mwajiri wake wakati anaacha kazi hakupewa barua ya kuachishwa kazi. Anahitaji kufatilia mafao yake ya nssf. Je ni taratibu (procedures) gani anatakiwa azifuate ili alipwe mafao yake? na afanye nini endapo aliyekuwa mwajiri wake atagoma kumsainia papers zinazomthibitisha kuwa alikuwa mwajiriwa katika hiyo kampuni.? Mawazo yenu ni muhimu hapa.
Naombeni mnisaidie mawazo, nina jamaa yangu mmoja alikuwa akifanya kazi katika kampuni flani hapa mjini (DSM) zaidi ya miaka 10. Ila ameacha kazi na hakuwa kwenye good terms na mwajiri wake wakati anaacha kazi hakupewa barua ya kuachishwa kazi. Anahitaji kufatilia mafao yake ya nssf. Je ni taratibu (procedures) gani anatakiwa azifuate ili alipwe mafao yake? na afanye nini endapo aliyekuwa mwajiri wake atagoma kumsainia papers zinazomthibitisha kuwa alikuwa mwajiriwa katika hiyo kampuni.? Mawazo yenu ni muhimu hapa.