Msaada kuhusu mabadiliko ya hedhi

mzizi1

JF-Expert Member
Oct 9, 2017
255
692
Habari ndugu, naomba niende kwenye mada.

Mnamo mwezi wa pili tuliamua kuanza kutumia njia za uzazi wa mpango mimi na mwenza wangu, ambapo aliwekewa kijiti kimoja, lakini ilipofikia mwezi wa tano akawa analalamika sana kuhusu kijiti kumkera, hivyo mwezi wa Saba mwanzoni tukakitoa na mnamo tarehe 29/07 akaingia P.

SINTOFAHAMU ILIPO.

baada ya kuingia P, tulisex tarehe 18/08 ambayo ilikua ni siku ya 21 tangu aingie P, Leo ni siku ya 32 tangu atoke P, lakini Bado hajapata siku zake, na Kuna dalili za uchovu anazipata na kudai labda ni mimba, tumefanya pregnant test mara mbili na unasoma Negative kama ilivyo hapo chin.

Naomba msaada wa utatuzi wa hili kwa mwenye kufahamu
IMG-20220829-WA0005.jpg
 
Poleen mkuu hapo unaweza kuta homon zimechenga make hizo njia mara nyingi znachengesha sna homoni na kupelekea mwngne kuingia prd bla mpangilio aj kutokuingia sasa. Kama ni hivyo atumie miziz ya mpera na miziz ya mbaazi aikatekate vpande vdogdogo achemshe anatumia sku 3 tu kutwa ×2 kikombe utaleta mrejesho ,na kama mnaishi pamoja kama mnapanga uzazi kuna njia moja rahisi na ngumu anatmia kitambaa chake au ped ya hedh yake ya siku ya kwanza anaingia anachkua hiyo anaweka kwa kopo lisilo onesha ndani kunann anafunika anatunza angalizo hilo kopo likipotea na lispofunguliwa hatozaa au likifunguliwa kabla ya muda mlopanga bas atabeba mimba so siku mkitaka abebe mimba mnalifungua tu mnaitupa ni lakutunza kwa akri mno ukiona hiyo ngumu ameze mbegu za mnyonyo
 
Aisee hivyo vijiti vinawasumbua sana wake zetu, anaweza maliza hata siku 60 hajaingia au akae asiingie kabisa, au akiingia hedhi anadumu hata wiki mbili.
Halafu kina mu affect hata feeling pia.
 
Habari ndugu, naomba niende kwenye mada.

Mnamo mwezi wa pili tuliamua kuanza kutumia njia za uzazi wa mpango mimi na mwenza wangu, ambapo aliwekewa kijiti kimoja, lakini ilipofikia mwezi wa tano akawa analalamika sana kuhusu kijiti kumkera, hivyo mwezi wa Saba mwanzoni tukakitoa na mnamo tarehe 29/07 akaingia P.

SINTOFAHAMU ILIPO.

baada ya kuingia P, tulisex tarehe 18/08 ambayo ilikua ni siku ya 21 tangu aingie P, Leo ni siku ya 32 tangu atoke P, lakini Bado hajapata siku zake, na Kuna dalili za uchovu anazipata na kudai labda ni mimba, tumefanya pregnant test mara mbili na unasoma Negative kama ilivyo hapo chin.

Naomba msaada wa utatuzi wa hili kwa mwenye kufahamuView attachment 2338984

Habari,
1: Bado hatuwezi kusema kama siku zimepitiliza au la, kwani bado tunahitaji kujua kama kwa kawaidi mzunguko wa mwenzako ni kiasi gani?
Kawaida ni siku 21-35

2: Hii itasaidia kujua pia uwezekano wa siku ya yai kupevuka vs kupata ujauzito.

3: Physical na psychological stress ya kuweka au kutoa kitanzi inaweza kusababisha kubadilika kwa mzunguko pamoja na homoni zake.

Pia, kuna vitanzi ambavyo huwa na homoni hivyo ni vyema kufahamu hilo.

Hivyo, hii ni subiria tuone yajayo pia.
 
Poleen mkuu hapo unaweza kuta homon zimechenga make hizo njia mara nyingi znachengesha sna homoni na kupelekea mwngne kuingia prd bla mpangilio aj kutokuingia sasa. Kama ni hivyo atumie miziz ya mpera na miziz ya mbaazi aikatekate vpande vdogdogo achemshe anatumia sku 3 tu kutwa ×2 kikombe utaleta mrejesho ,na kama mnaishi pamoja kama mnapanga uzazi kuna njia moja rahisi na ngumu anatmia kitambaa chake au ped ya hedh yake ya siku ya kwanza anaingia anachkua hiyo anaweka kwa kopo lisilo onesha ndani kunann anafunika anatunza angalizo hilo kopo likipotea na lispofunguliwa hatozaa au likifunguliwa kabla ya muda mlopanga bas atabeba mimba so siku mkitaka abebe mimba mnalifungua tu mnaitupa ni lakutunza kwa akri mno ukiona hiyo ngumu ameze mbegu za mnyonyo
kazi yote ya nn si umwagilie njee tu !
 
Habari,
1: Bado hatuwezi kusema kama siku zimepitiliza au la, kwani bado tunahitaji kujua kama kwa kawaidi mzunguko wa mwenzako ni kiasi gani?
Kawaida ni siku 21-35

2: Hii itasaidia kujua pia uwezekano wa siku ya yai kupevuka vs kupata ujauzito.

3: Physical na psychological stress ya kuweka au kutoa kitanzi inaweza kusababisha kubadilika kwa mzunguko pamoja na homoni zake.

Pia, kuna vitanzi ambavyo huwa na homoni hivyo ni vyema kufahamu hilo.

Hivyo, hii ni subiria tuone yajayo pia.
Shukran tumepanga kesho kufanya utra sound tuone japo mara nyingi sana anakua na dalili za mimba lakini kipimo Cha mimba hakionyeshi
 
Poleen mkuu hapo unaweza kuta homon zimechenga make hizo njia mara nyingi znachengesha sna homoni na kupelekea mwngne kuingia prd bla mpangilio aj kutokuingia sasa. Kama ni hivyo atumie miziz ya mpera na miziz ya mbaazi aikatekate vpande vdogdogo achemshe anatumia sku 3 tu kutwa ×2 kikombe utaleta mrejesho ,na kama mnaishi pamoja kama mnapanga uzazi kuna njia moja rahisi na ngumu anatmia kitambaa chake au ped ya hedh yake ya siku ya kwanza anaingia anachkua hiyo anaweka kwa kopo lisilo onesha ndani kunann anafunika anatunza angalizo hilo kopo likipotea na lispofunguliwa hatozaa au likifunguliwa kabla ya muda mlopanga bas atabeba mimba so siku mkitaka abebe mimba mnalifungua tu mnaitupa ni lakutunza kwa akri mno ukiona hiyo ngumu ameze mbegu za mnyonyo
Shukran mkuu,ngoja tuone majibu ya vipimo kesho, nitakutafuta
 
Mimi pia naomba msaada! Ilitakiwa niingie P terehe 21 mwezi huu. Siku hiyo nilikuwa na dalili zote za kuanza P. Lakini cha ajabu mpaka leo hii sijaingia! Shida nini kwa mnaofahamu. Je, nimeshika mimba?
 
Shukran tumepanga kesho kufanya utra sound tuone japo mara nyingi sana anakua na dalili za mimba lakini kipimo Cha mimba hakionyeshi
Yap, lakini ni muhimu kujua pia ultrasound hasa abdominal, unaweza ku-miss ujauzito chini ya miezi 3, TVS at least 3 weeks na zaidi.
 
Mimi pia naomba msaada! Ilitakiwa niingie P terehe 21 mwezi huu. Siku hiyo nilikuwa na dalili zote za kuanza P. Lakini cha ajabu mpaka leo hii sijaingia! Shida nini kwa mnaofahamu. Je, nimeshika mimba?
Achana na mfumo wa kisasa wa uzazi wa mpångo...chemsha majani ya mpela au mlpnge kuludisha mzunguko wako.
Tafuta mtu mzima mwenye utulivu mpe taarifa zako nina imani atakusaidia..
 
Mimi pia naomba msaada! Ilitakiwa niingie P terehe 21 mwezi huu. Siku hiyo nilikuwa na dalili zote za kuanza P. Lakini cha ajabu mpaka leo hii sijaingia! Shida nini kwa mnaofahamu. Je, nimeshika mimba?
Kapime vipmo vyte na mimba uone ikiwa sivyo utasoma post yang ya 1
 
Back
Top Bottom