Scofied
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,456
- 1,685
- Thread starter
- #21
pamoja sana wakuu...bado nasubiri miracles to happen...ntaweka update hapa ili kila mtu ajifunze kitu kuhusu hizi huduma na si kuwalaumu Voda...nasubiri 24 hrs walizonipa ziishe hapo saa saba mchana wasipokuwa wameingiza ntawapigia tena....