msaada kuhusu law qualification

toghocho

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
1,172
198
jamani wakuu nisaidieni, nina degree ya finance, na nimesoma Economics, Commerce and Acountancy, advance level, hivi nikitaka kuwa wakili, ni lazima kuanza upya degree ya law, au naweza kufanya postgraduate?if so, (2nd option) wanahitaji qualification gani, and then ukimaliza unaweza kwenda law school? ambaye anaknowledge ya hii kitu anisaidie tafadhali!!
 
Mkuu kulingana na The Law School Act of 2007 na The Advocates Act Cap 341 ukitaka kuwa wakili ni lazima uwe na degree ya kwanza ya sheria (LLB) na siyo postgraduate. Pia baada ya kupata LLB utapaswa kujiunga na Law School. Ukifaulu ndo utapetition kwa Jaji Mkuu akuapishe kuwa wakili.

Mkuu kama unania ya uwakili hauna jinsi jiunge na masomo ya degree ya kwanza, hakuna njia ya mkato. Postgraduate degrees in laws hazikupi nafasi ya kuwa wakili. Kama una kazi nakushauri jiunge na Open University komaa utafanikiwa.
 
Mkuu kulingana na The Law School Act of 2007 na The Advocates Act Cap 341 ukitaka kuwa wakili ni lazima uwe na degree ya kwanza ya sheria (LLB) na siyo postgraduate. Pia baada ya kupata LLB utapaswa kujiunga na Law School. Ukifaulu ndo utapetition kwa Jaji Mkuu akuapishe kuwa wakili.

Mkuu kama unania ya uwakili hauna jinsi jiunge na masomo ya degree ya kwanza, hakuna njia ya mkato. Postgraduate degrees in laws hazikupi nafasi ya kuwa wakili. Kama una kazi nakushauri jiunge na Open University komaa utafanikiwa.
Mkuu naomba niulize na mimi swali la nyongeza.Sheria zote mbili ulizozitaja zilitungwa wakati kitengo cha sheria cha chuo kikuu cha Dar kikiwa na digrii ya kwanza ya aina moja.Lakini sasa hivi nadhani wanazo mbili yaani LLB na BALE (bachelor of law inforcemet) ambayo nathani core subject nyingi za LLB nazo wanazisoma kwa kufikiri kwangu.je kwakuwa law school wameorodhesha core subjects ambazo kila anaijiunga hapo anatakiwa kuzisoma hawa wa BALE wanaweza ku qualify?
 
Mkuu naomba niulize na mimi swali la nyongeza.Sheria zote mbili ulizozitaja zilitungwa wakati kitengo cha sheria cha chuo kikuu cha Dar kikiwa na digrii ya kwanza ya aina moja.Lakini sasa hivi nadhani wanazo mbili yaani LLB na BALE (bachelor of law inforcemet) ambayo nathani core subject nyingi za LLB nazo wanazisoma kwa kufikiri kwangu.je kwakuwa law school wameorodhesha core subjects ambazo kila anaijiunga hapo anatakiwa kuzisoma hawa wa BALE wanaweza ku qualify?
ukisoma sheria na regulation zake za 2011 Law school Act its state that for a person to qualify should hv LLB degree na hizo core subject zimetajwa kama additional qualification tu
 
Mkuu kulingana na The Law School Act of 2007 na The Advocates Act Cap 341 ukitaka kuwa wakili ni lazima uwe na degree ya kwanza ya sheria (LLB) na siyo postgraduate. Pia baada ya kupata LLB utapaswa kujiunga na Law School. Ukifaulu ndo utapetition kwa Jaji Mkuu akuapishe kuwa wakili.

Mkuu kama unania ya uwakili hauna jinsi jiunge na masomo ya degree ya kwanza, hakuna njia ya mkato. Postgraduate degrees in laws hazikupi nafasi ya kuwa wakili. Kama una kazi nakushauri jiunge na Open University komaa utafanikiwa.
dah, mkuu shukrani, but hizo LLB open inachukua muda gani?, naona mambo ni too complicated kwa nini?
 
Mkuu ni wewe kukomaa tu na shule, ni kuanzia miaka mitatu nadhani. Inategemea na usomaji wako wewe mwenyewe.
 
ukisoma sheria na regulation zake za 2011 Law school Act its state that for a person to qualify should hv LLB degree na hizo core subject zimetajwa kama additional qualification tu
Mkuu nakubali na asante kwa ufafanuzi. nadhani kwa kuwa sheria imesema na iko hivyo strictly so called hatuna ujanja ila sijui nchi nyingine zenye utaratibu wa law school wanafanyaje
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom