Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,010
- 12,496
Thanks! Kwenye matokeo yangu kuna F 2 ya MATH na GEO huwa zinanipa kinyaa sana.Hamna Mkuu ,
Vyeti vyote vinatambulika ndo hasa lengo la kurudia mtihani. Ili kutafta kilicho Bora hila ukikosa unakausha tu
Huwa nafikiria kuziondoa ila mwakani nina mpango wa kuacha kazi nifanye mambo mengine, sasa nafikiria nirisiti ili iweje?
Ila kuishi na hili zigo naonaga linanichosha ingawa hajui mtu.