Msaada kuhusu kuhama kozi

Msaada kuhusu kuhama kozi

la pioche06

Member
Joined
Dec 7, 2021
Posts
9
Reaction score
3
Mdogo wangu kachaguliwa Bachelor of science in Information n Technology St. John, anaitaka pharmacy ana division 2.10 watamruhusu kuhama au nimpeleke diploma afya.
 
Hapo anatakiwa apambane na TCU....
kuna dogo alipambana hadi akabadilishiwa tena hata chuo akapelekwa kingene ambacho kina hiyo course ya Pharmacy.
 
Hapo anatakiwa apambane na TCU....
kuna dogo alipambana hadi akabadilishiwa tena hata chuo akapelekwa kingene ambacho kina hiyo course ya Pharmacy.
Apo st John pharmacy ipo sasa naomba maelekezo kwamba apambane na tcu kivip
 
Back
Top Bottom