Ramour Fonte
Member
- Sep 2, 2018
- 5
- 0
Naomba kwa anaejua namna ya kuomba ZERO TARIFFS TANESCO yaani naamdikaje hyo barua ya kuomba hyo kitu natanguliza shukrani.
Ngumbaru FCNaomba kwa anaejua namna ya kuomba ZERO TARIFFS TANESCO yaani naamdikaje hyo barua ya kuomba hyo kitu natanguliza shukrani.
Juzi kuna jirani yangu amempigia simu Mtanesco kuhusu iyo mambo Mtanesco akamjibu "achana na hiyo mambo mana hiyo huduma haina muda mrefu itaondolewa"Naomba kwa anaejua namna ya kuomba ZERO TARIFFS TANESCO yaani naamdikaje hyo barua ya kuomba hyo kitu natanguliza shukrani.