Diallo genius
Member
- Sep 11, 2017
- 80
- 64
Habari Wana JF,
Mimi ni muhitimu wa kidato cha sita 2022 comb HGL Nime confirm chuo TIA Mbeya kozi ya Bachelor of Marketing and Public Relations lakini naona napenda sana BaED kuliko hii kozi niliyo confirm hivyo nahitaji Ku unconfirm na Ku confirm chuo kingine coz pia nilichaguliwa BAEd.
Hivyo naomba ushauri je ni madhara gani yanaweza yakatokea kwenye mkopo endapo Niki unconfirm.
Na je, naweza kuwa sahihi kuacha BMPR na kwenda BAEd? Kama mtu atapenda kunishauri basi anipe Strength na weakness za kozi zote mbili.
Natanguliza shukrani.
Mimi ni muhitimu wa kidato cha sita 2022 comb HGL Nime confirm chuo TIA Mbeya kozi ya Bachelor of Marketing and Public Relations lakini naona napenda sana BaED kuliko hii kozi niliyo confirm hivyo nahitaji Ku unconfirm na Ku confirm chuo kingine coz pia nilichaguliwa BAEd.
Hivyo naomba ushauri je ni madhara gani yanaweza yakatokea kwenye mkopo endapo Niki unconfirm.
Na je, naweza kuwa sahihi kuacha BMPR na kwenda BAEd? Kama mtu atapenda kunishauri basi anipe Strength na weakness za kozi zote mbili.
Natanguliza shukrani.
