Msaada kuhusu kozi za kusoma

Msaada kuhusu kozi za kusoma

Joined
Dec 26, 2016
Posts
68
Reaction score
18
Wakuu wenye maujuzi na waliosoma Computer Science na Computer Engineering naomba ushauri wenu kati ya hizi kozi ni ipi itakuwa poa sana kusoma na kukupatia kipato cha maana hapa Nchini kwa kujiajr au kuajiriwa.

Na chuo gani ni better zaidi kwa hizi kozi.
 
Course yoyote soma, ila keep it in mind my friend ni muhimu usiwe mzembe on both schools subject and practices.

Ili uwe na cheti kizuri na ujuzi pia.

Now days kazi zipo chache ila jiandae mapema ukikosa kazi ya kuajiriwa uwe mpango mwingime.

Acha kula pesa za ziada kama mchwa zitakusaidia baadae kama unatokea familia masikini.

Chuo cha kusoma nenda kwenye kokote lakini hivi ndo navyoweza kulishawishi

SUA(shambani), UDSM(jalalani) na UDOM(chuo cha kata).
 
Search humu jukwaani hizi course mbili zimeelezewa sanaa naamini utapata mengi
 
Wakuu wenye maujuzi na waliosoma Computer Science na Computer Engineering naomba ushauri wenu kati ya hizi kozi ni ipi itakuwa poa sana kusoma na kukupatia kipato cha maana hapa Nchini kwa kujiajr au kuajiriwa.

Na chuo gani ni better zaidi kwa hizi kozi.
Kama unapenda kucheza na hardware + programming/kutengeneza software nenda computer eng.

Kama unapenda programing na kubase specifically kwenye software nenda software engineering (ile ya miaka minne).

All in all when it comes to computer and programming field, degree yako sio issue sana. What matter is passion and ability to learn + solving problems.
 
Zote ni nzuri ila Computer Engineering ina sound vizuri zaidi kwa kuwa ina- integrate several fields za computer science.
 
In computer engineering kuna kudevelop mathematical models, fabrication,robotics design,automation, and software design and programming ( kiufupi hapa unachukua umeme+computerized circuits + software = computer engineering

Computer science inadeal na software design,software development and implementation. Hapa ni mwendo wa code

Kozi zote zinahitaji uwe vizuri kwenye hesabu hasa numerical,statistics and probability

Mwisho:

1. Kozi zote zina favor kwenye kujiajiri
2. Kwangu mm computer science imekaa poa coz ndo field inayokua kwa kasi
 
We target yako nini kwanza, kabla ya kutaka ushauri
 
Back
Top Bottom