Msaada kuhusu kipimo cha colonoscopy

Msaada kuhusu kipimo cha colonoscopy

falcon Q

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2023
Posts
1,197
Reaction score
3,004
Wakuu habari za weekend.

Naomba maelezo kwa huduma ya kipimo cha colonoscopy kama ifuatavyo
1. Hospital gani hutoa huduma hii kwa hapa dar es salaam hosp binafsi au umma
2. Bei zake zikoje
3. Huchukua muda gani kupata majibu.

Muwe na weekend njema
 
Salama kabisa mkuu, kuhusu gharama sijajua ila ampola regency hospital wana toa huduma ya kipimo hicho.

wako upanga mkuu, maybe waweza wacheki kwa taarifa zaidi
 
Back
Top Bottom