Nyamboboy
JF-Expert Member
- Jun 22, 2017
- 361
- 451
Ndugu zangu
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu,Naomba kufahamishwa kuhusu gharama za ziada kwa mtu aliyeagiza gari lake nje hasa kwa Japani.Kuna ndugu yangu ameona gari zuri kalipenda. nimeona kununua na usafiri mpaka Dar es salaam port ni Tsh 5,500,000/= Nimejaribu kuingia TRA kwenye used car valuation susytem nikaona ni Tsh 5,000,000/= Naomba kusaidiwa gharama za ziada niweze kumwambia huyu ndugu yangu mwenye kiu ya gari.
NB:Mimi namiliki gari ila nilinunua show room,kwa hyo sijui utaratibu wa kuagiza nje na ulipaji wa gharama za ziada.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu,Naomba kufahamishwa kuhusu gharama za ziada kwa mtu aliyeagiza gari lake nje hasa kwa Japani.Kuna ndugu yangu ameona gari zuri kalipenda. nimeona kununua na usafiri mpaka Dar es salaam port ni Tsh 5,500,000/= Nimejaribu kuingia TRA kwenye used car valuation susytem nikaona ni Tsh 5,000,000/= Naomba kusaidiwa gharama za ziada niweze kumwambia huyu ndugu yangu mwenye kiu ya gari.
NB:Mimi namiliki gari ila nilinunua show room,kwa hyo sijui utaratibu wa kuagiza nje na ulipaji wa gharama za ziada.