Msaada kuhusu kampuni bora za umeme wa jua (solar)

Msaada kuhusu kampuni bora za umeme wa jua (solar)

Nhinawe

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
1,175
Reaction score
1,515
Nawasalimu wanajamvi. Habarini za mapumziko ya Jumamosi.

Niende kwenye mada. Kwa wajuzi na wataalamu wa aina ama kampuni Bora za Sola.

Tunafahamu kuwa kuna sehemu/vijiji ambavyo bado umeme wa REA haujafika. Hivyo nahitaji kwenda kumfungia umeme wa sola mama yangu. Mwenye ufahamu juu hili tafadhali naomba msaada wa maelekezo.

Asante🙏.
 
Nawasalimu wanajamvi. Habarini za mapumziko ya Jumamosi.
Niende kwenye mada. Kwa wajuzi na wataalamu wa aina ama kampuni Bora za Sola.
Tunafahamu kuwa kuna sehemu/vijiji ambavyo bado umeme wa REA haujafika. Hivyo nahitaji kwenda kumfungia umeme wa sola mama yangu. Mwenye ufahamu juu hili tafadhali naomba msaada wa maelekezo.
Asante🙏
Uko wapi Ndugu.? Sisi ni AGEnergies tuko Mbeya mjini. Tunakufungia popote ulipo Kusini mwa Tanzania.
 
Uko wapi Ndugu.? Sisi ni AGEnergies tuko Mbeya mjini. Tunakufungia popote ulipo Kusini mwa Tanzania.
Toa gharama za sola zenu .

Uwezo wa solar mlizonazo .

Then gharama za ufundi na warranty
 
Chukua solar kampuni ya Sundar hutojuta, mwaka wa nane huu haijanisumbua.

Kweli jamaa wapo vizuri sana ,pannel zao(Mono) hata kama kuna mvua battery zinajaa fresh tu.


Pannel anunue Sundar
Battery Rittar/Sundar
Cable ya 10mm anunue Original(haziathiriki na jua).
CHarger COntroller nunua zile zenye mabati kwa nyuma(cooling).

Ndugu OP(Mtoa mada) Weka matumizi yako tukushauri vizuri.
 
Bei zetu ni nafuu sana. Njoo Inbox nikupe namba ya Operation Officer muwasiliane
Sawa, Ila hiyo si kampuni? Kwa nini mawasiliano inbox, Kama Kuna wateja wanahitaji? Biashara matangazo.
Yuko jamaa wa duka la spea za magari anajitangaza hata humu jamvini na watu wamefanikiwa kupata spea kwake.
Wenye makampuni au maduka ya mabati wako open.
Toa namba tuongee naye mkuu.
 
Kweli jamaa wapo vizuri sana ,pannel zao(Mono) hata kama kuna mvua battery zinajaa fresh tu.


Pannel anunue Sundar
Battery Rittar/Sundar
Cable ya 10mm anunue Original(haziathiriki na jua).
CHarger COntroller nunua zile zenye mabati kwa nyuma(cooling).

Ndugu OP(Mtoa mada) Weka matumizi yako tukushauri vizuri.
Asante.
Nahitaji Sola yenye uwezo wa kuwasha TV, friji, kuchaji simu za majirani ili kumpunguzia makali bimkubwa. Si unajua mkuu.
 
Kweli jamaa wapo vizuri sana ,pannel zao(Mono) hata kama kuna mvua battery zinajaa fresh tu.


Pannel anunue Sundar
Battery Rittar/Sundar
Cable ya 10mm anunue Original(haziathiriki na jua).
CHarger COntroller nunua zile zenye mabati kwa nyuma(cooling).

Ndugu OP(Mtoa mada) Weka matumizi yako tukushauri vizuri.
Wewe ndiye utatusaidia ndugu .

Je solar yenye uwezo wa kuwasha Tv na accessories kama friji na makololo madogo ya umeme ni whatt ngapi ? Na gharama yake ikoje ?

Je hao Sundar wanakufungia kwa gharama kiasi gani ?
 
sundar mkuu, ndo naitumia, natumia na sabufa take na tv pia, hii hata kukiwa na mawingu mambo murua
 
Wewe ndiye utatusaidia ndugu .

Je solar yenye uwezo wa kuwasha Tv na accessories kama friji na makololo madogo ya umeme ni whatt ngapi ? Na gharama yake ikoje ?

Je hao Sundar wanakufungia kwa gharama kiasi gani ?

solar unafunga hata mwenyewe mkuu
 
Back
Top Bottom