Sangoma
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 344
- 165
Rafiki yangu kanunua iPhone 5 kutoka kwa mtu(used) kila ikiwekwa line inasema simu imeibiwa so inashindikana kuitumia coz inahitaji iphone id tunafanyaje kuhusu hilo tatizo? Shukran in advance.
Rafiki yangu kanunua iPhone 5 kutoka kwa mtu(used) kila ikiwekwa line inasema simu imeibiwa so inashindikana kuitumia coz inahitaji iphone id tunafanyaje kuhusu hilo tatizo? Shukran in advance.
Rafiki yangu kanunua iPhone 5 kutoka kwa mtu(used) kila ikiwekwa line inasema simu imeibiwa so inashindikana kuitumia coz inahitaji iphone id tunafanyaje kuhusu hilo tatizo? Shukran in advance.
Kiufupi hakuna anachoweza fanya kwenye Hilo ila anaweza kukaanayo kama urembo. Iphone 5 na kuendelea wameziprotect na iCloud for security reasons. Pia huwa nawashangaa watu wanaonunua iCloud locked iPhones hata kwa bei rahisi kiasi gani! Pole bro labda endelea kuitunza mpaka itakapokia toleo la iPhone 10s wanaweza release hizo zilizolokiwa!!!!