Samahani wadau wa jukwaa hili, nimenunua line ya halotel kwa ajili ya matumizi ya Internet. Tatizo, ninapowasha data, inaonekana haijaunganishwa kwenye internet kwa hiyo nashindwa kufanya nayo kazi. Naitumia kwenye tablet. Nisaidieni waungwana wa humu jukwaani. Blessings