kwa Tanzania unapohitaji hati ya kusafiria lazima uwe na shughuli nje ya nchi.
hapa unaweza kualikwa na rafiki au ndugu, biashara, kutembea(utalii) au safari kikazi. Hapa panahitajika uthibitisho wa unachoenda kukifanya ndipo wakuamini uhamiaji upate Hati.
Vingine.
2. Cheti cha kuzaliwa chako na cha mzazi mmoja au affidavit kama hawana.
3. Barua ya mtaa utokako akikutambulisha kama mkazi.
4.barua ya maombi ya Hati ambayo mara nyingi utaikuta uhamiaji.
Gharama: 50000 tsh
Kama hauna nilichopigia mstari kuna watu humo humo kwa njia za panya unatoa 150000tsh unapata hati yako. Ieleweke rushwa ni adui wa haki na rushwa sio nzuri.