Sio rahisi ku_bypass hiyo login screenHi simu iliangushwa na wazungu so ikiwashwa inadai uingize i phone email na pasword zake je kuna njia yoyote ya kufanya au ndio pambo tu limebaki]
Hapana haijapigwa tena INA ujumbe kuwa hii simu imepotezwa kwa mawasiliano zaid imewekwa no ya huyo mzung na ukipiga haongei kingereza