Malpighian
Member
- Jan 16, 2015
- 88
- 76
Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
Ndio kila Halmashauri watatoa tangazo kwenye Mbao zao za matangazo
Process Ni kwamba tunaenda kuangalia ubao wa halmashauri kama zimewekway Au Inakuaje Wakuu.Msaada Tafadhari
Wandugu hi kazi vipi
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Mkuu dodoma Tayari?Dodoma tayari karibuni
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Tutumie tangazoDodoma tayari karibuni
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Mtu mwenye tangaza la almashauri za mkoa wa mwanza iwe ilemela,mwanza city,misungwi,magu au kwimba tafadhali liwekeni hapa au kama kuna mtu yoyote anafanya kazi izo almashauri apige picha atuwekee tusaidiane
Sio degree tu hata certificate na diploma za accounts hawaruhusiwiKwahiyo watu wenye digirii hawaruhusiwi kuomba?
Wanachokitaka nini?Ubaguzi huu hauwezi kuwaacha watu salamaSio degree tu hata certificate na diploma za accounts hawaruhusiwi
Actec two is equal to diploma kama wameruhusu foundation basi hata diploma wanaruhusiwaSio degree tu hata certificate na diploma za accounts hawaruhusiwi