king of the North
Senior Member
- Jul 26, 2016
- 102
- 55
Process Ni kwamba tunaenda kuangalia ubao wa halmashauri kama zimewekway Au Inakuaje Wakuu.Msaada Tafadhari
Shukrani mkuuNenda kaangalie kwenye ubao wa matangazo kwa halmashauri zilizopewa idhini ya kuajiri hizo nafasi.
Kumbuka sio halmashauri zote zinahusika na hilo zoezi la utoaji wa ajira.
Kwa mshahara huo ni wazi kwamba sifa ni kkk. Kusoma, kuandika na kuhesabuVP mbn HAKUNA sifa ya elimu
Duuh kazi kweli mwaka Jana kuna jamaa aliomba kukusanya mapato ya halimashauri na degree yake sua nikajua itakuwa angalau diploma ya accountancy kwasababu itabidi aandae hata bajeti kdg kwaajili ya matumizi ya ofisi pia aandae petty cashKwa mshahara huo ni wazi kwamba sifa ni kkk. Kusoma, kuandika na kuhesabu
Halimashauli nao wanaonekana hawajui chochotewakuu mliopo Halmashauri mbali mbali tunaomba msaada juu ya hili wakitangaza tu kwenye hizo mbao za matangazo msisite kutuwekea humu.Asante
[QUOTE="daniel enocy, post: 21927303, member: 378448"Halimashauli nao wanaonekana hawajui chochote
Kwa TGS B ni certificate ya usimamizi wa fedhaVP mbn HAKUNA sifa ya elimu
Hee huo ni mshahara WA Mtendaji wa kijiji mwenye certificateKwa mshahara huo ni wazi kwamba sifa ni kkk. Kusoma, kuandika na kuhesabu
Ohooo mi nikajua diplomaKwa TGS B ni certificate ya usimamizi wa fedha