selemangrace346 JF-Expert Member Joined Sep 26, 2018 Posts 468 Reaction score 638 Oct 6, 2021 #21 Mm mwenyewe nlichaguliwa hii kozi japo sikuichagua nmekimbia mita mia.
0swagg Member Joined Jun 29, 2020 Posts 36 Reaction score 12 Oct 6, 2021 Thread starter #22 selemangrace346 said: Mm mwenyewe nlichaguliwa hii kozi japo sikuichagua nmekimbia mita mia. Click to expand... kwanini..!??
selemangrace346 said: Mm mwenyewe nlichaguliwa hii kozi japo sikuichagua nmekimbia mita mia. Click to expand... kwanini..!??
0swagg Member Joined Jun 29, 2020 Posts 36 Reaction score 12 Oct 6, 2021 Thread starter #23 Lycaon pictus said: Pia anaweza kujiajiri kwa kufungua library yake. Click to expand...
Mr Devil JF-Expert Member Joined Jul 7, 2019 Posts 14,917 Reaction score 34,457 Oct 7, 2021 #24 Course zingine ni sawa na suicide Bomb
0swagg Member Joined Jun 29, 2020 Posts 36 Reaction score 12 Oct 11, 2021 Thread starter #25 Mr Devil said: Course zingine ni sawa na suicide Bomb Click to expand... dah
Bird Watcher JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 4,208 Reaction score 8,448 Oct 11, 2021 #26 Unataka kumtaabisha mtoto kwani course zimeisha?
jonas amos JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 3,648 Reaction score 4,451 Oct 11, 2021 #27 Ajira zake ngumu sana wengi waliomaliza hii wapo mtaani au wameshikiza mahala Nje na fani husika Mkurugenzi mstaafu wa library tanzania Dr ally baada ya kustaafu kaomba kazi kaajiliwa kama mkutubi vijana wanamuangalia wanalia tu Sokoni lake la ajira sio kubwa kabisa Labda uwe na akili ya ziada sana
Ajira zake ngumu sana wengi waliomaliza hii wapo mtaani au wameshikiza mahala Nje na fani husika Mkurugenzi mstaafu wa library tanzania Dr ally baada ya kustaafu kaomba kazi kaajiliwa kama mkutubi vijana wanamuangalia wanalia tu Sokoni lake la ajira sio kubwa kabisa Labda uwe na akili ya ziada sana