kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,023
- 3,458
Natumaini nyote mu wazima wa afya.
Zikiwa zimebaki siku kadhaa nirudi mkoani kutulia na wife ambaye miezi kadhaa ilopita nilibahatika kutoa mahali kwa hiyo naweza nikasema naenda kuoa rasmi.
Sasa waungwana kuna mafuta huwa nayapenda sana hususan watu wakipaka ila sikuwahi kujua yanaitwaje.
Ni kopo fulan hivi jeusi la chuma kuna jamaa nishawahi kumuuliza akasema jina limemtoka ila wanayauza 6000 mpaka 7000 sijajua mikoani yanauzwaje?
Nataka ninunue nimpelekee mke mtarajiwa kama zawadi.
NB: Kuhusu mwandiko siko vizuri kiviile.
Zikiwa zimebaki siku kadhaa nirudi mkoani kutulia na wife ambaye miezi kadhaa ilopita nilibahatika kutoa mahali kwa hiyo naweza nikasema naenda kuoa rasmi.
Sasa waungwana kuna mafuta huwa nayapenda sana hususan watu wakipaka ila sikuwahi kujua yanaitwaje.
Ni kopo fulan hivi jeusi la chuma kuna jamaa nishawahi kumuuliza akasema jina limemtoka ila wanayauza 6000 mpaka 7000 sijajua mikoani yanauzwaje?
Nataka ninunue nimpelekee mke mtarajiwa kama zawadi.
NB: Kuhusu mwandiko siko vizuri kiviile.