Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Samahani ndugu zangu mwenye number za hii compony ya ELIMA COMPANY LMT naomba anipatie na naomba kujua uaminifu wao upo vipi?? Je siyo wajanja wajanja na sikia ofisi zao ipo kahama kama sijakosea asante sana.