Habari wakuu.
Kuna ndugu yangu ameitwa interview sehemu mbili moja ni NGO ya mazingira na nyingine ni DTB.
Sasa kaniuliza kuhusu Mishahara na benefits za bank teller kwa DTB..
Mi sina uzoefu mzuri kwenye nyanja za ma bank kwa io ningependa msaada wenu juu ya hilo.
Anatakiwa kureport interview kuanzia j3.
Shukrani.
Kuna ndugu yangu ameitwa interview sehemu mbili moja ni NGO ya mazingira na nyingine ni DTB.
Sasa kaniuliza kuhusu Mishahara na benefits za bank teller kwa DTB..
Mi sina uzoefu mzuri kwenye nyanja za ma bank kwa io ningependa msaada wenu juu ya hilo.
Anatakiwa kureport interview kuanzia j3.
Shukrani.