Msaada kuhusu DTB

Msaada kuhusu DTB

Qifrishy

Senior Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
169
Reaction score
42
Habari wakuu.
Kuna ndugu yangu ameitwa interview sehemu mbili moja ni NGO ya mazingira na nyingine ni DTB.
Sasa kaniuliza kuhusu Mishahara na benefits za bank teller kwa DTB..
Mi sina uzoefu mzuri kwenye nyanja za ma bank kwa io ningependa msaada wenu juu ya hilo.
Anatakiwa kureport interview kuanzia j3.
Shukrani.
 
Duuh DTB wameita post za juzi kati me ile link yao email ilinigomea kutuma maombi.
 
Mkuu mm nilichoka na ile link yao ya email feki.
 
Hao DTB sina hata hamu nao... Email address yao feki kwanza. Nikapeleka kwa mkono headquarter kwao huyo secretary jibu na jicho alivyonitolea niliondoka bila hata kuaga
 
Hao DTB sina hata hamu nao... Email address yao feki kwanza. Nikapeleka kwa mkono headquarter kwao huyo secretary jibu na jicho alivyonitolea niliondoka bila hata kuaga

mhh kazi kweli kweli.
Labda mkuu washawekana wanaona unaenda kuziba mianya ya watu..
 
NGO magoli, DTB nilipeleka CV yangu tena headquarter ( one month later )wana wa field wakaniambia CV yako ipo kwa secretary kwenye droo,.,.,mean haijapelekwa kwa HR.
wayiiiiiii
 
Back
Top Bottom