MSAADA: Kuhusu DOT Tanzania - Youth Leadership Program(YLP)

MSAADA: Kuhusu DOT Tanzania - Youth Leadership Program(YLP)

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,845
Reaction score
4,775
Nilituma maombi nimefanikiwa kuchaguliwa, kama kuna aliyewahi kushiriki kwenye program za hawa jamaa namwomba apa anipe uzoefu.
 
Nilituma maombi nimefanikiwa kuchaguliwa, kama kuna aliyewahi kushiriki kwenye program za hawa jamaa namwomba apa anipe uzoefu.
DOT YLP ni leadship program ambayo sisi tulikuwa waanzilishi last year, Lengo la program hii ni kuwandaa vijana ili wawe viongozi wazuri kwenye jamii wanayotoka, no program nzuri Sana na unaisoma online lakini kuna wakati itakulazimu uhudhurie face to face session na wanaprovide lunch.
 
DOT YLP ni leadship program ambayo sisi tulikuwa waanzilishi last year, Lengo la program hii ni kuwandaa vijana ili wawe viongozi wazuri kwenye jamii wanayotoka, no program nzuri Sana na unaisoma online lakini kuna wakati itakulazimu uhudhurie face to face session na wanaprovide lunch.
Okay, kwa wanaotoka mikoani ikoje? Niko Moro na j3 ni face to face sijui wa mikoani inakuwaje
 
Back
Top Bottom