baby nillaah
Senior Member
- Apr 7, 2017
- 110
- 64
Habari wanajamvi Mimi nahitaji kujiunga na chuo cha SAUT Mwanza ngazi ya Diploma.
Swali langu je? Ni kozi ipi nzuri kwa Sasa katika soko la ajira maana cheti nilisoma community development HOMBOLO Dodoma, nahofia kuendelea nayo sababu ajira zake Sina hakika Kama zinapatikana kwa urahisi. Mnisaidie coz ipi nzuri au niendelee na hii tu
Swali langu je? Ni kozi ipi nzuri kwa Sasa katika soko la ajira maana cheti nilisoma community development HOMBOLO Dodoma, nahofia kuendelea nayo sababu ajira zake Sina hakika Kama zinapatikana kwa urahisi. Mnisaidie coz ipi nzuri au niendelee na hii tu