Msaada kuhusu convertor from mp3 to instrumental

Msaada kuhusu convertor from mp3 to instrumental

dudukila

Senior Member
Joined
Jun 20, 2015
Posts
134
Reaction score
37
Habari zenu wakuu!! Naomba mwenye kujua application ya ku convert mp3 music iwe instrumental/beat tupu anisaidie, iwe inatumia windows 7/8/10
 
Mara nyingi sio rahisi kufanya unlinking ya beat na vocals katika mp3 au hata wav bila kuacha fragments (midi,guitars,trumpets). ila kama ni kwa ajili ya basic use (un-professional) unaweza tumia virtual dj, audacity au hata fl studio kuondoa kick na beats za low pitch na kuacha vocal na fragments za high pitch.
 
Mara nyingi sio rahisi kufanya unlinking ya beat na vocals katika mp3 au hata wav bila kuacha fragments (midi,guitars,trumpets). ila kama ni kwa ajili ya basic use (un-professional) unaweza tumia virtual dj, audacity au hata fl studio kuondoa kick na beats za low pitch na kuacha vocal na fragments za high pitch.
Mhhhh bado cjakusoma joh
 
ni ngumu sana wimbo "ukishaurend" kupata beat zake..ni sawa na chai ukishaiweka majani na sukari ni ngumu sana kutoa hayo majani na chai ubakishe maji meupe pekee..
hata virtual DJ haiwez kufanya kazi hiyo...

kuna option mbili tu kupata instrumental
1.kupata origin file kwa producer..
2.au kulitengeneza (compose) wewe mwenyewe
 
ni ngumu sana wimbo "ukishaurend" kupata beat zake..ni sawa na chai ukishaiweka majani na sukari ni ngumu sana kutoa hayo majani na chai ubakishe maji meupe pekee..
hata virtual DJ haiwez kufanya kazi hiyo...

kuna option mbili tu kupata instrumental
1.kupata origin file kwa producer..
2.au kulitengeneza (compose) wewe mwenyewe
Ok thanks bro ila sasa zile compiled files za instrumental ambazo tunadoenload unataka nambia wamekusanya kutoka kwa maproducer wa zile nyimbo?
 
Ok thanks bro ila sasa zile compiled files za instrumental ambazo tunadoenload unataka nambia wamekusanya kutoka kwa maproducer wa zile nyimbo?
yap..ni maprouducer au wasanii wenyewe wanaamua kusambaza instrumental zao..maana mtu kabla hajarecord anapewa beat ya mazoezi..

kwa producer ni rahisi maana anachannel ya kila track utakuta kick au snare au vocal ina Chanel yake so anaamua kuzima baadhi ya channel abakishe anazotaka lakini wewe huwezi kuchukua wimbo uliorekodiwa halafu ugawanye gawanye hizo track kama wewe sio composer
 
au Mara nyingine ni watu wanaamua kuzipiga kwa upya for their own benefit..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom