Msaada kuhusu cheki za bank

Msaada kuhusu cheki za bank

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
455
Reaction score
878
Jamani mimi nataka kufahamishwa, ivi cheki za bank zinafanya kazi vipi. Yani process nzima, vigezo vya kumiliki kitabu cha cheki na usalama wa cheki pale unapomuandikia mtu akachukue ela.
 
Nenda BoT wakuelezee au tembelea www.bot.go.tz utapata maelezo ya kutosha. Ila machacje nijuayo ni
1. Sio kila account utapewa kitabu cha hawala(cheque)
2. Kitabu cha hawala hupewi bure na bei hutegemea wingi.wa karatasi mdani yake
3. Wanashauri usimpe mtu hawala tupu (blank) ambayo umeshaisaini
Wengine watajazia...
 
Utaandika barua kwenda benki husik ukiwajulisha kwamba ungependa kuwa na kitabu cha cheque na idadi ya kurasa unazohitaji. Baada ya hapo utaiwasilisha benki na watakutengenezea. Lakini benki nyingi huangalia na kiasi cha pesa ulichonacho kwenye account yako.
 
Check lazima uwe na account isiyopungua milioni 200

Acha uongo. Cheque book zinatolewa(hapa kwetu kwa banks nyingi) kwa wale wenye account za biashara (Current Account) tu na sio wenye account za akiba(Savings account)
 
Acha uongo. Cheque book zinatolewa(hapa kwetu kwa banks nyingi) kwa wale wenye account za biashara (Current Account) tu na sio wenye account za akiba(Savings account)
Na wewe acha uwongo hata savings account ukitaka unapewa cheque.
 
ili kupata chq book(kitabu cha hundi)lazima uwe na current acc..hii yaweza kuwa personal current acc ama business current acc.
hutumika kwa ajili ya kufanyia malipo
ulipwaji wake unatumia sysytem ya BOT inayoitwa TACH.
interbank chqs malipo hufanyika ndani ya siku 2 hadi 4,,,inhouse chqs huwa zinalipwa within 24 hrs after confirmation.
 
Back
Top Bottom