Msaada kuhusu BITCOIN wallet

Msaada kuhusu BITCOIN wallet

Mr noble

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2017
Posts
623
Reaction score
550
Poleni na majukumu wana jf..
Kichwa husika chajitosheleza. Leo katika pita pita mitandaoni nikakutana na hiyo changamoto kwa mtu ambae anatumia hiyo huduma au anauelewa wa kutosha juu ya hilo itakuwa vema akinishirikisha..

Thanks in advance

rap beast
 
Poleni na majukumu wana jf..
Kichwa husika chajitosheleza. Leo katika pita pita mitandaoni nikakutana na hiyo changamoto kwa mtu ambae anatumia hiyo huduma au anauelewa wa kutosha juu ya hilo itakuwa vema akinishirikisha..

Thanks in advance

rap beast
Kama unavyotunza hela benki, tigopesa au mpesa sasa hapa unatunza online.
Kama unavyo mpa bank teller au mhudumu wa kibanda cha mpesa akuwekee kwa account yako na hapa pia unampa mhudumu akuwekee kwa online account/wallet yako.

Haihitajiki kua na Bitcoin 1(Tshs 9Mil estimates) ili uweze kuhifadhi hela zako, bali hata ukiwa na laki 1 utatumiwa tu kwa account/wallet yako (100,000/9,000,000 x 1BTC = 0.01111BTC).

Kwakua hii BTC iko kwenye USD $ na sisi hapa Tanzania tunatumia zaidi Tshs kwenye transactions zetu basi tegemea tu value ya BTC kupanda na kushuka mara kwa mara. Hela za Tshs utakazo mpa mhudumu akuwekee kwa account/wallet yako hazitakua sawa na zile ukitaka kuzitoa due to currency variation.
 
Bitcoin ni pesa ya kidijital ilioanzishwa na kikund cha watu wasiojulikana japan wanaitwa SATOSHI NAKAMOTO.

Bitcoin inapanda value kila dakika usisahange sasa iv ni dola 11550 na baada ya masaa matano ni 12500

Kwa sasa 1 bitcoin ni sawa na dollar 11537 ni sawa na mili 26 iv za ki tz

Unawezaje kupata bitcoin
1. Kumine bitcoin. Ambyo hii ni kurusu computer kusolve mathematical problems kisha kupewa zawad ya bitcoin km malipo
2. Njia ya pili ni kununua kwa wa2 mfno kuna site inaitwa localBitcoins unaweza nunua na kuuza bitcoins

Njia za uchimbaji bitcoin
Zamani wakati bitcoin ilikua haina thaman ilikuwa rahis sana kumine kwa kutumia computer yako huku ukutumia GPU ( Graphics processing unit ) lakin sasa ivi uwez mine bitcoins kwa computer maana uwez pata faida yoyote hivyo basi una itaji kujiunga na cloud mining ambapo wenywe wanataka we u investment hela kisha we unasubiri bitcoin zako baada ya mda fulan

Njia nyingine ni kununua device kwajil ya bitcoin mining ASIC ( Application Specific Integration Circuit ) ambzo hizi device ni kama Antminer s9 inauzwa mpka dola 3, 000 za kimarekani in mpk 14 TH/s harsh ambyo ni power full sana kwa mining

Kutokana na gharama za kumine bitcoin kuwa ghali bas unaweza kujiunga na makampuni km vile
1. Sierra hash. Hii kampuni kujiunga ni bure unapewa 150 MH/s unaweza kuongeza MH/s kwa kuongeza kwa minimum amount 0.001 sawa na dola 11 na kuendelea kumine btc

2. Genesis mining hii sio bure unanunua harshesh kwa kima cha chini dola 25


Bitcoin wallet ni seem ya kuhifadhi bicoin zako unaweza hifadhi ata kweny flash yko ila skuiz znaifadhiwa online wallet km blockchain.info ,
 
hili ni zaidi ya somo! natamani sana kuanza kununua mana zinaonekana zana faida kubwa
 
Kama unavyotunza hela benki, tigopesa au mpesa sasa hapa unatunza online.
Kama unavyo mpa bank teller au mhudumu wa kibanda cha mpesa akuwekee kwa account yako na hapa pia unampa mhudumu akuwekee kwa online account/wallet yako.

Haihitajiki kua na Bitcoin 1(Tshs 9Mil estimates) ili uweze kuhifadhi hela zako, bali hata ukiwa na laki 1 utatumiwa tu kwa account/wallet yako (100,000/9,000,000 x 1BTC = 0.01111BTC).

Kwakua hii BTC iko kwenye USD $ na sisi hapa Tanzania tunatumia zaidi Tshs kwenye transactions zetu basi tegemea tu value ya BTC kupanda na kushuka mara kwa mara. Hela za Tshs utakazo mpa mhudumu akuwekee kwa account/wallet yako hazitakua sawa na zile ukitaka kuzitoa due to currency variation.

Je kuna faida yoyote katika bitcoin na unaipataje?
 
Je kuna faida yoyote katika bitcoin na unaipataje?
Hii Bitcoin kwa kua iko kwenye US$ basi ni sawa na leo ununue labda dola 1 kwa TZS 2,280 kisha siku ukitaka kuitoa na kuuza basi unauza labda kwa TZS 2,300 kwa dola 1.

Lakini sio lazima iwe inapanda value kila siku, yaweza pia kushuka value yake. Initially ilikua ikienda inapanda tu Mpaka ikafika kama Us $20,000/Bitcoin nadhan. But now imestable, ndio maana haizungumziwi kwa sana.
 
Unatengenezaje account ya bitcoin coz nahitaji niwe nafanya malipo kwenye online.
Kama unavyotunza hela benki, tigopesa au mpesa sasa hapa unatunza online.
Kama unavyo mpa bank teller au mhudumu wa kibanda cha mpesa akuwekee kwa account yako na hapa pia unampa mhudumu akuwekee kwa online account/wallet yako.

Haihitajiki kua na Bitcoin 1(Tshs 9Mil estimates) ili uweze kuhifadhi hela zako, bali hata ukiwa na laki 1 utatumiwa tu kwa account/wallet yako (100,000/9,000,000 x 1BTC = 0.01111BTC).

Kwakua hii BTC iko kwenye USD $ na sisi hapa Tanzania tunatumia zaidi Tshs kwenye transactions zetu basi tegemea tu value ya BTC kupanda na kushuka mara kwa mara. Hela za Tshs utakazo mpa mhudumu akuwekee kwa account/wallet yako hazitakua sawa na zile ukitaka kuzitoa due to currency variation.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom