ongezea na udijeiUNAKUWA MC
Wewe soma tu..kisha fanya certification mbali mbali.Utapiga tu pesa
Tupe uzoefu wako katika hii koziMdanganye mwenzio.
Bila shaka umechaguliwa Mzumbe.Wakubwa ningependa kuifaham kiundani hyo kozi hasa kuhusu ajira zake..
Asante bro ..Bila shaka umechaguliwa Mzumbe.
Soko lake la ajira lipo, unakua na uwanja mpana wa kuchagua pa ku specialize (Database, data warehousing, maintenance, programming, security, etc)....
Ila graduates wake wengi naona wakitoka hapo direct wanajiajiri, hawapendagi kuajiriwa. Hiyo ni advantage ingine... (Mimi mmojawapo)
Nenda shule kakaze.... Utasoma hesabu mpaka ufurahi kama huzipendi
Karibu kwenye ulimwengu wa digitali
Bila shaka umechaguliwa Mzumbe.
Soko lake la ajira lipo, unakua na uwanja mpana wa kuchagua pa ku specialize (Database, data warehousing, maintenance, programming, security, etc)....
Ila graduates wake wengi naona wakitoka hapo direct wanajiajiri, hawapendagi kuajiriwa. Hiyo ni advantage ingine... (Mimi mmojawapo)
Nenda shule kakaze.... Utasoma hesabu mpaka ufurahi kama huzipendi
Karibu kwenye ulimwengu wa digitali
Bonge la ushauri bro
we unaumia nini kama ni tangopori?Tangopori hilo.....utaingia chaka
Mara nyingi naona uko negative sana kwa kila uzi wa kuomba details za kozi unaoletwa hapa. Kwa nini?Tangopori hilo.....utaingia chaka
Katika IT ipi ni part nzuri ambayo unaweza kumshauri mtu a speciallise.Bila shaka umechaguliwa Mzumbe.
Soko lake la ajira lipo, unakua na uwanja mpana wa kuchagua pa ku specialize (Database, data warehousing, maintenance, programming, security, etc)....
Ila graduates wake wengi naona wakitoka hapo direct wanajiajiri, hawapendagi kuajiriwa. Hiyo ni advantage ingine... (Mimi mmojawapo)
Nenda shule kakaze.... Utasoma hesabu mpaka ufurahi kama huzipendi
Karibu kwenye ulimwengu wa digitali
Czani kama ni mzumbeBila shaka umechaguliwa Mzumbe.
Soko lake la ajira lipo, unakua na uwanja mpana wa kuchagua pa ku specialize (Database, data warehousing, maintenance, programming, security, etc)....
Ila graduates wake wengi naona wakitoka hapo direct wanajiajiri, hawapendagi kuajiriwa. Hiyo ni advantage ingine... (Mimi mmojawapo)
Nenda shule kakaze.... Utasoma hesabu mpaka ufurahi kama huzipendi
Karibu kwenye ulimwengu wa digitali