Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,906
- 4,525
bsc in chemistry unafudishwa deep knowleje ya mater and its properties. hiyo nowleje utaitumia kusolve problems in society for instance unaweza solve tatizo la cooking fuel. hivyo ukadesign project ya ku extract hydrogen from atmosphere na kuimplement how to use as acooking fuel.project iki succeed you are a billionaire
bsc in physics fundermental laws of universe, then you can solve any social problem, for instance manipulation of earths magnetism to create a spacecraft that can travel faster than light,project ikiwin you are a mult trilionare
bsc in biolgy utapata deep knowlej ya living things,then unaweza solve tatizo la aging,project ikipita you are zilionare
bsc in mathematics utafundishwa deep knowlege in calculation,computing,mathematical modeling. then unaweza design robot la kufundisha hesabu nchi nzima at a real time,hivyo suala la ukosefu wa walimu nchi nzima utakuwa umelimaliza.project ikipita you are a king
muda mwingine tusiwaze sana ajira,coz ajira inacreate income tu sio fortune
Hahahaaaa..... You are very funny, hasa hapo kwenye aging, hahahaaaa.... That thing is potentially unsolvable mzee