Au ukipenda unakua ticha wa kemia
Au ukipenda unakua ticha wa kemia
Hamna shida hata hata ikiwa haiwezekani pouw coz i hate teaching thing
You hate teaching or You don't like teaching? Maana hata coz unayotaka kusoma hujui inahusika na nini.Hamna shida hata hata ikiwa haiwezekani pouw coz i hate teaching thing
Na ajitahidi wakati wa kukimbia asianguke. Maana hata anachotaka kukisoma hakijui.Ualimu ukimbie kama ukoma
Bachelor of mathematics ni makini Sana shida ni waafrica hatujui umuhimu wakeKoz yeyote ya ualimu lazima iwe na education,,,,, hii koz huwez kuwa mwalimu
Kusema ukweli kuna hizi koz wanazitoa udom hasaa
Bsc in chemistry
Bsc in physics
Bsc in biology
Bsc in mathematics
Izoo koz apoo juu ni nzur tuu kwa maneno na weng wanazikimbiliaga lakin mpaka now hawaelewi wanasomea nin,,
bsc in chemistry unafudishwa deep knowleje ya mater and its properties. hiyo nowleje utaitumia kusolve problems in society for instance unaweza solve tatizo la cooking fuel. hivyo ukadesign project ya ku extract hydrogen from atmosphere na kuimplement how to use as acooking fuel.project iki succeed you are a billionaireKoz yeyote ya ualimu lazima iwe na education,,,,, hii koz huwez kuwa mwalimu
Kusema ukweli kuna hizi koz wanazitoa udom hasaa
Bsc in chemistry
Bsc in physics
Bsc in biology
Bsc in mathematics
Izoo koz apoo juu ni nzur tuu kwa maneno na weng wanazikimbiliaga lakin mpaka now hawaelewi wanasomea nin,,
Uko pouw sana, Tisha nimekukubali ghafla,bsc in chemistry unafudishwa deep knowleje ya mater and its properties. hiyo nowleje utaitumia kusolve problems in society for instance unaweza solve tatizo la cooking fuel. hivyo ukadesign project ya ku extract hydrogen from atmosphere na kuimplement how to use as acooking fuel.project iki succeed you are a billionaire
bsc in physics fundermental laws of universe, then you can solve any social problem, for instance manipulation of earths magnetism to create a spacecraft that can travel faster than light,project ikiwin you are a mult trilionare
bsc in biolgy utapata deep knowlej ya living things,then unaweza solve tatizo la aging,project ikipita you are zilionare
bsc in mathematics utafundishwa deep knowlege in calculation,computing,mathematical modeling. then unaweza design robot la kufundisha hesabu nchi nzima at a real time,hivyo suala la ukosefu wa walimu nchi nzima utakuwa umelimaliza.project ikipita you are a king
muda mwingine tusiwaze sana ajira,coz ajira inacreate income tu sio fortune
Course zote za ualimu sio lazma zkiwe na education jamaa yangu alimaliza hapo udom Bsc mathematics akaindika barua na akapangiwa shule saa hivi ni mwalimu na ukizingatia demand ya walimu wa hayo masomo hapo ni kubwa.Koz yeyote ya ualimu lazima iwe na education,,,,, hii koz huwez kuwa mwalimu
Kusema ukweli kuna hizi koz wanazitoa udom hasaa
Bsc in chemistry
Bsc in physics
Bsc in biology
Bsc in mathematics
Izoo koz apoo juu ni nzur tuu kwa maneno na weng wanazikimbiliaga lakin mpaka now hawaelewi wanasomea nin,,
Ni kozi nzuri ila kwa hapa nyumbani utakufa njaa ndugu yangu.Nauliza hev hii Bachelor of science in chem ukisoma then unakua unadeal na vitu gan na unafanya kazi zipi? Tafadhali kwa anayefahamu