Msaada kuhusu AVN

Msaada kuhusu AVN

Last sentinel

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2013
Posts
274
Reaction score
112
Hello wana JF, habari za jion? Nilitaka kujua ni lini tunaweza kupata AVN number sababu nilikuwa na supplimentary matokeo yalitoka mwezi wa kumi tarehe 5 nikawa nimeclear na wakawa wameyatuma lakini nikijaribu kuomba AVN number inakataa.

Msaada tafadhali
 
Mbona uko moto hvyooo. Subiri nasi wenzio tumalize diploma zetu tuombe wote
 
AVN huwa inatolewa muda wowote hata kama sio muda wa kuomba chuo mkuu labda kama kuna sehemu amekosea kujaza taarifa zakw
Sawa mkuu ila nlichomaanisha mm zaid ni kwamba wakifungua dirisha la kuomba vyuo ndo achukue hyo AVN, sababu hata akichukua now haina ishu ni sawa na bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vipi status yko inasomaje nacte??

kma confirmed bac rudia tena kuomba hyo AVN utapata.

kama status yko haipo hvyo hpo juu....tulia mpka iwe kma hvyo hapo juu ndo utaomba.

Degree njema.
 
Ndo iko hivyo bt nikiomba avn inagoma
Hapo huwezi kupata AVN kijana

mpaka hzo status....zibadilike from SUBMITTED TO CONFIRMED

KEY.

SUBMITTED means results received by nacte but verified is in progress

CONFIRMED means your results is verified by nacte

kuwa mpole NACTE wapo kazini utapata hyo AVN na utaenda degree
 
Kwenye kuangalia hiyo stutus, hiyo index unayojaza hapo juu ni registration ya chuo au namba ya mtihani wa kidato cha NNE na mwaka wa kuhitimu.
 
Hii process ya kuomba AVN via NACTE unaweza kutumia simu..?
 
Mbona uko moto hvyooo. Subiri nasi wenzio tumalize diploma zetu tuombe wote
Wewe Kuomba chuo ni mpaka mwakani,mwaka huu cdhani kama itawezekana.Kwa watu wa diploma kinacho matter sana ni Vyeti.Kama unavyo jua vyuo vyetu baada matokeo ya diploma semester ya mwisho kutoka,inachukua muda ku process vyeti.
 
Wewe Kuomba chuo ni mpaka mwakani,mwaka huu cdhani kama itawezekana.Kwa watu wa diploma kinacho matter sana ni Vyeti.Kama unavyo jua vyuo vyetu baada matokeo ya diploma semester ya mwisho kutoka,inachukua muda ku process vyeti.
Sio lazima cheti wewe, acha kudanganya umma kwani umesikia ajira hii wahitaji hadi vyeti
Tena kuna watu wameomba hata ajira kwa transcripts na wakaitwa interview sembuse maombi ya chuo..
Tulizana.
 
AVN-Award Verification Number,hata kwenye simu ndio unaomba..AVN unapata pind pale chuo chako husika kikituma matokeo yote .it means from semester 1 to 6..ukiwa supplimentary huwez pata avn mpake ufanye kuclear sup..AVN inakusaidia kuapply degree..so matokeo huanza kutumwa sem 1 and 2,then followed by 3 and 4,then 5 and 6 ..kama status ikiwa confirmed kwa matokeo yote utaaply AVN nacte..unalipia elf 20 then unapata
Pamoja kiongozi
 
AVN-Award Verification Number,hata kwenye simu ndio unaomba..AVN unapata pind pale chuo chako husika kikituma matokeo yote .it means from semester 1 to 6..ukiwa supplimentary huwez pata avn mpake ufanye kuclear sup..AVN inakusaidia kuapply degree..so matokeo huanza kutumwa sem 1 and 2,then followed by 3 and 4,then 5 and 6 ..kama status ikiwa confirmed kwa matokeo yote utaaply AVN nacte..unalipia elf 20 then unapata
Siyo elfu 2o ni elfu 10 tu
 
Sio lazima cheti wewe, acha kudanganya umma kwani umesikia ajira hii wahitaji hadi vyeti
Tena kuna watu wameomba hata ajira kwa transcripts na wakaitwa interview sembuse maombi ya chuo..
Tulizana.
Nikwel kabisa siyo lazima chet ni transcript tu mzee coz mwaka jana mm niliomba chuo na maatokeo na nikapata na hadi mkopo
 
Wewe Kuomba chuo ni mpaka mwakani,mwaka huu cdhani kama itawezekana.Kwa watu wa diploma kinacho matter sana ni Vyeti.Kama unavyo jua vyuo vyetu baada matokeo ya diploma semester ya mwisho kutoka,inachukua muda ku process vyeti.
Kinacho itajika ni transcript ya natokeo inabidi uwe umeiweka katika pdf then unaiaplod sehemu usika kipindi unajaza details utaiyona iyo sehemu
 
Back
Top Bottom