Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,377
- 9,311
Habarini!!!!
Am on the way to mombasa sina budi kulala ARUSHA ndo safari iendelee!!!!
tumefika jioni hii ila ilipofika mda wa kuangalia taarifa ya habari walipo washa TV chanel zikawa empty kumbe kuna mtoto alikuwa anachezea TV,,,,.
sasa wamejaribu kuset chanel zirudi
wapi zimeshindikana,,,,. naomba mwongozo namna ya kuzirejesha chanel zote ili walau ifikapo saa 5 usiku huu niangalie taarfa ya habari hata za KITAIFA [I.T.V].
Am on the way to mombasa sina budi kulala ARUSHA ndo safari iendelee!!!!
tumefika jioni hii ila ilipofika mda wa kuangalia taarifa ya habari walipo washa TV chanel zikawa empty kumbe kuna mtoto alikuwa anachezea TV,,,,.
sasa wamejaribu kuset chanel zirudi
wapi zimeshindikana,,,,. naomba mwongozo namna ya kuzirejesha chanel zote ili walau ifikapo saa 5 usiku huu niangalie taarfa ya habari hata za KITAIFA [I.T.V].