nimejaribu kwa *#7370# inadai password sina.. nisaidieni.
Nokia N70, ingia hapa ( Security Master-code calculator for Nokia mobile phones ) weka imei ya simu yako ili uGenerate mastercode ya simu yako,,itumie hiyo code ita overide code iliyopo kwenye simu alafu utafanikia kuFormat kwa *#7370# ..mkuu nimeingiza imegoma.. Nokia N70
mkuu nimeingiza imegoma.. Nokia N70
i have done..
Asanteni kwa msaada wenu.
njia gani imefanikisha
hyo ya * 3.
Wadau naombeni mnisaidie na mimi jinsi ya ku flash simu ya mama watoto Nokia 202 ilizima ghafla mpaka sasa haijawaka na leo ni siku ya tatu wakati alipokua anajaribu ku-configure internet
*,3 na button ya kupiga simu for all nokia non-touch screen
Nokia N70, ingia hapa ( Security Master-code calculator for Nokia mobile phones ) weka imei ya simu yako ili uGenerate mastercode ya simu yako,,itumie hiyo code ita overide code iliyopo kwenye simu alafu utafanikia kuFormat kwa *#7370# ..
*,3 na button ya kupiga simu for all nokia non-touch screen
nna kanokia c1 ...mbona nimetumia njia ya * +call button+3+on/off button but bilabila
Wadau naombeni mnisaidie na mimi jinsi ya ku flash simu ya mama watoto Nokia 202 ilizima ghafla mpaka sasa haijawaka na leo ni siku ya tatu wakati alipokua anajaribu ku-configure internet