Aman Cosmas
Member
- Mar 17, 2013
- 29
- 6
ambae anajua kuflash iphone 5 anisaidie hata akiwa anajua sehem ambapo ntapata msaada anielekeze asante
ambae anajua kuflash iphone 5 anisaidie hata akiwa anajua sehem ambapo ntapata msaada anielekeze asante
Twende taratibu mkuu usije ukaibiwa, smartphones ni tofauti sana na simu za kawaida, hebu sema shida yako ni nini hasa? simu yako ina tatizo gani?
Uko wapi?
inaomba apple id na apple id za alikua anaitumia czijui
oops! ndiyo maana nilisema utaibiwa mkuu. hiyo simu kwa sasa hakuna anayeweza kuifungua isipokuwa mwenye apple id original, kama anapatikana mtafute, kama hajulikani ni maumivu tu kwa sasa HAKUNA NJIA! Kama vipi uza watu wachukue spare parts, au iweke tu ndani and hope for a miracle, apple wako strict sana na device zao sku hizi.
npo dar es salaam
Muone Eric pale
Mikocheni A pembeni ya mayfair plaza...ukifika tu maeneo hayo wee muulize hata mtoto mdogo atakuonyesha...huyo ni Bingwa wa hizo vitu au mcheki kwa namba hii....+255 715 244 696
duh kumbe sio rahisi kama nilivyokuwa nikifikiriaaa,SWALI je naweza kutumia ID moja kwa device tofauti?
Ifungie kabatini usubiri hadi itakapopatikana trick ya ku bypass hiyo kituinaomba apple id na apple id za alikua anaitumia czijui
hapo hakuna ubingwa ndugu yangu, HAKUNA! atachofanya labda amtandike bei kubwa ili yeye aagize logic board ambayo haina lock ndiyo amdanganye ameunlock! Apple ni kampuni tofauti kabisa, tuliwachokonoa wao wameng'ata!
ambae anajua kuflash iphone 5 anisaidie hata akiwa anajua sehem ambapo ntapata msaada anielekeze asante
Muone Eric pale
Mikocheni A pembeni ya mayfair plaza...ukifika tu maeneo hayo wee muulize hata mtoto mdogo atakuonyesha...huyo ni Bingwa wa hizo vitu au mcheki kwa namba hii....+255 715 244 696
Mkuu acha kumuongopea mwenzako,,,hiyo kitu milele hakiwezekani!
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
inaomba apple id na apple id za alikua anaitumia czijui
Kama kwako hakiwezekani mkuu kwa wenzako kinawezekana