chikwakala
Member
- Aug 17, 2014
- 28
- 6
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu nashindwa kuelewa ni nn kimetokea kwenye simu yangu kwan siwezi tena kudownload Application yoyote badala yake naandikiwa download pending mda wote hadi naamua kucancel. Data zipo