Msaada: Kubadili chuo kwenda Advance

magelei

Member
Feb 21, 2018
18
6
Habarini ndugu,

Mdogo wangu alipata division 3 ya 21.

CIV=C GEO=C BIO=C CHEM=C MATH=D HIST =D PHY=F KISW=B ENG=D kwenye machaguo alijaza comb ya CBG tu lkn amechaguliwa chuo coz ya ICT chuo cha CBE ILALA DAR nayeye anapenda kwenda advance afanye nini aweze kubadili kutoka chuo kwenda advance shule za serikali.
 
Soma hii
20220513_234031.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom