magelei
Member
- Feb 21, 2018
- 18
- 6
Habarini ndugu,
Mdogo wangu alipata division 3 ya 21.
CIV=C GEO=C BIO=C CHEM=C MATH=D HIST =D PHY=F KISW=B ENG=D kwenye machaguo alijaza comb ya CBG tu lkn amechaguliwa chuo coz ya ICT chuo cha CBE ILALA DAR nayeye anapenda kwenda advance afanye nini aweze kubadili kutoka chuo kwenda advance shule za serikali.
Mdogo wangu alipata division 3 ya 21.
CIV=C GEO=C BIO=C CHEM=C MATH=D HIST =D PHY=F KISW=B ENG=D kwenye machaguo alijaza comb ya CBG tu lkn amechaguliwa chuo coz ya ICT chuo cha CBE ILALA DAR nayeye anapenda kwenda advance afanye nini aweze kubadili kutoka chuo kwenda advance shule za serikali.