msaada kuandika CV

willy ze great

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
1,083
Reaction score
1,328
kuna option hapa inaitwa AWARD wadau natakiwa niandike nn ni online application msaada na hio sehemu ya subject master
 
kikawaida kwenye cv Honors/awards zinakuwa ni zile tuzo ulizozipata wakati unafanya kazi au hata kwenye maisha yako ya kawaida. mfano unakuta mtu amewahi kuwa mfanyakazi bora CRDB kwa miaka mitatu mfululizo basi kwenye cv yake upande wa awards ataandika kuwa amewahi kuwa mfanyakazi bora mara 3 kwenye bank ya CRDB

ila unaweza kuta hapo wamemaanisha kitu chengine hakuna documentation yoyote kwenye hio site inayoelezea maana ya kila kipengele
 
Institution hapo unajaza chuo
Subject matter hapo unajaza ulichosomea/kozi
Award hapo unajaza level attained Kama cheti diploma au bachelor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…