Msaada ku-update Tecno Phantom Z

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,798
12,240
Katika simu yangu aina Tecno Phantom Z nime-download applications nyingi na sasa inaniambia hakuna nafasi ya kutosha (insufficient space) ninapotaka ku-update hizo applications.

Kinachonisumbua ni kuwa niki-check storage napata information ifuatayo:

1. internal storage:Total space = 0.98GB; Available = 65.25MB
2. SD CARD: Total space = 7.19GB; Available = 4.89GB
3. Phone Storage: Total space 1.62GB Available = 1.57GB

Tafadhali naomba ye yote mwenye ujuzi anisaidie ni kwa namna gani naweza kuhamisha applications kutoka internal storage kwenda SD card au phone storage ili kupata nafasi ya kutosha katika internal storage na applications hizo ziendelee kufanya kazi!

Natanguliza shukrani zangu!

Copy: Paul S.S
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hiyo cm umeinunua bei gani maana nlikuwa nataka kununua kama hiyo ila sijui ni bei gani?
 
Kawaida ukienda settings then applications utaziona applications zako cha kufanya unaiclick application ulioidownload itafunguka na itakuonyesha option ya move to external(memory card) kama itakua iko saved kwenye simu ukiclick itahamia kwenye memory card,

ukiona inakuambia move to phone jua hiyo iko saved kwa memory card so kazi kwako kuzichagua ambazo ziko saved kwenye move uzimove kwenye memory.

N.B: Usijetoa memory kwenye simu unaweza poteza au corruptisha application ulizozsave kwenye memory.
 
Kawaida ukienda settings then applications utaziona applications zako cha kufanya unaiclick application ulioidownload itafunguka na itakuonyesha option ya move to external(memory card) kama itakua iko saved kwenye simu ukiclick itahamia kwenye memory card,

ukiona inakuambia move to phone jua hiyo iko saved kwa memory card so kazi kwako kuzichagua ambazo ziko saved kwenye move uzimove kwenye memory.

N.B: Usijetoa memory kwenye simu unaweza poteza au corruptisha application ulizozsave kwenye memory.

Nimejaribu kufanya hivyo lakini ile icon ya "Move to SD card" inakuwa inactive (Faint)
 
Nimejaribu kufanya hivyo lakini ile icon ya "Move to SD card" inakuwa inactive (Faint)

Nenda settings, apps, prefered write disc, kama ni phone memory chagua sd card kisha nenda kwenye zoezi la kuhamisha applications. App ambayo bado haihamishiki bora ku uninstall na kama unaihitaji uta install upya.,Lakini angalia kama baada ya kuhamisha zingine bado kuna tatizo la memory.
 
Ileje,

Mkuu ninachokiona hapo ni kuwa kama kweli hiyo ni Phantom Z basi ni Clone!! Sababu kama sikosei Phantom Z ndio flagship yao kwa sasa na simu kubwa

kama hiyo ni ngumu sana kuweka internal memory 1GB ambapo humo humo waweke Os na iwe storage ya Applications pia media files.

*****
Solution
Punguza applications bakia na za muhimu tuu
 
Last edited by a moderator:
Katika simu yangu aina Tecno Phantom Z nime-download applications nyingi na sasa inaniambia hakuna nafasi ya kutosha (insufficient space) ninapotaka ku-update hizo applications.

Kinachonisumbua ni kuwa niki-check storage napata information ifuatayo:

1. internal storage:Total space = 0.98GB; Available = 65.25MB
2. SD CARD: Total space = 7.19GB; Available = 4.89GB
3. Phone Storage: Total space 1.62GB Available = 1.57GB

Tafadhali naomba ye yote mwenye ujuzi anisaidie ni kwa namna gani naweza kuhamisha applications kutoka internal storage kwenda SD card au phone storage ili kupata nafasi ya kutosha katika internal storage na applications hizo ziendelee kufanya kazi!

Natanguliza shukrani zangu!

Copy: Paul S.S


Original Phantom Z has an internal memory of 32GB and does not have an SD CARD slot. I bought mine at KSh 32,000. Yours could be a clone or Phantom Mini
 
Katika simu yangu aina Tecno Phantom Z nime-download applications nyingi na sasa inaniambia hakuna nafasi ya kutosha (insufficient space) ninapotaka ku-update hizo applications.

Kinachonisumbua ni kuwa niki-check storage napata information ifuatayo:

1. internal storage:Total space = 0.98GB; Available = 65.25MB
2. SD CARD: Total space = 7.19GB; Available = 4.89GB
3. Phone Storage: Total space 1.62GB Available = 1.57GB

Tafadhali naomba ye yote mwenye ujuzi anisaidie ni kwa namna gani naweza kuhamisha applications kutoka internal storage kwenda SD card au phone storage ili kupata nafasi ya kutosha katika internal storage na applications hizo ziendelee kufanya kazi!

Natanguliza shukrani zangu!

Copy: Paul S.S

Mkuu hiyo yako mbona sio specification za phantom z?

Phantom Z haina slot ya card na ina internal 32gb

Hebu fanya utafiti kwanza simu yako ni original tecno phantom Z?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom