Hawana msaada hawa watu niliwapata kwa tabu sana na mara zote hatujamaliza maongezi wanakata simu ukishawatajia tatizo wanakuambia subiri kidogo mara simu inakatwa.
Nimepiga kuanzia juzi naambiwa wapo busy mara zote ninazopiga.
Customer care ni janga kwa hawa watu