Mwananchi hewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 226
- 273
Kuna habari kwamba TCRA itatoa mafunzo ya simu kwa mafundi simu wa upande wa SOFTWARE sasa nilikuwa nataka kujua utaratibu upo vipi na sifa zipi zinatakiwa
Hebu tusaidiane katika hili wandugu
Hebu tusaidiane katika hili wandugu