Edgar 8900
Member
- Jun 8, 2022
- 24
- 9
Kuna kozi pale SUA inaitwa agricultural economics and agribusiness, hii inahusu nini na fursa zake ni zipi?
Wamejaa sana CRDB enzi za KimeiUkisoma hii utapelekwa Idara ya kilimo ambayo ni Idara yenye njaa.
Bora usome Economics pure ukawe Afisa MIPANGO au mchumi
Au usome course ya business uwe Afisa Ugavi (procurement), BBA uwe Afisa Biashara, au Accounts uwe muhasibu.
#YNWA
Kwa level ya halmashauri umemshauri vyema, lakini vipi kama ataajiriwa taasisi/mashirika binafsi na mabenki?Ukisoma hii utapelekwa Idara ya kilimo ambayo ni Idara yenye njaa.
Bora usome Economics pure ukawe Afisa MIPANGO au mchumi
Au usome course ya business uwe Afisa Ugavi (procurement), BBA uwe Afisa Biashara, au Accounts uwe muhasibu.
#YNWA
Huyu ni mwalimu.Kwa level ya halmashauri umemshauri vyema, lakini vipi kama ataajiriwa taasisi/mashirika binafsi na mabenki?