Msaada: Kozi ipi ya kusoma kwa mchepuo wa PCB?

Msaada: Kozi ipi ya kusoma kwa mchepuo wa PCB?

Abercrombie13

Member
Joined
Jul 14, 2018
Posts
65
Reaction score
119
Habarin Wakubwa mim ni ndugu yenu mmoja kat ya form six leaver na nmefaulu kwa kiwango cha Div II.10 katika Tahasusi ya PCB kama ifuatavyo phy-D, Chem-C,Bios-C,Bam-D,Gs-E.Nmekuja jukwaani kuomba ushauri ni coz ipi na chuo kipi Naweza kupata but kwa upande wangu ninapenda kuwa Medical Doctor.Nitashukuru kama nitapata mawazo bora kutoka kwenu.
 
Asikimbilie MD hatopata nafasi kuna kozi za kilimo na mifugo pamoja na chakula akasome hizo
 
MD kama upo vizuri kiuchumi nenda kapige nje ya nchi..
 
Habarin Wakubwa mim ni ndugu yenu mmoja kat ya form six leaver na nmefaulu kwa kiwango cha Div II.10 katika Tahasusi ya PCB kama ifuatavyo phy-D, Chem-C,Bios-C,Bam-D,Gs-E.Nmekuja jukwaani kuomba ushauri ni coz ipi na chuo kipi Naweza kupata but kwa upande wangu ninapenda kuwa Medical Doctor.Nitashukuru kama nitapata mawazo bora kutoka kwenu.
Hongera kwa ufaulu wako kijana. Nakushauri MD competition ni kubwa sana vyuo vya serikali hivyo basi kama unataka MD omba vyuo vya private kama kairuki, st.joseph au bugando. Ila omba pia kozi hii ya Medical lab pale bugando au kcmc na Pharmacy kule St. John zikiwa kawa mbadala wako bila hvyo ukisema uombe vyuo vikubwa na kwa MD tu ukiikosa round hii ya mwanzo basi hakuna tena kozi ya afya utakayopata katika round ya pili.
 
Hongera kwa ufaulu wako kijana. Nakushauri MD competition ni kubwa sana vyuo vya serikali hivyo basi kama unataka MD omba vyuo vya private kama kairuki, st.joseph au bugando. Ila omba pia kozi hii ya Medical lab pale bugando au kcmc na Pharmacy kule St. John zikiwa kawa mbadala wako bila hvyo ukisema uombe vyuo vikubwa na kwa MD tu ukiikosa round hii ya mwanzo basi hakuna tena kozi ya afya utakayopata katika round ya pili.
Hivi utajuaje umechaguliwa round ya kwanza?
 
Kila chuo kinatoa majina ya selected applicant. So ww unaangalia jina lako katika chuo chako ulichoomba.
Kaka si tunaanza kuapply mwezi huu tarehe 20 afu deadline ya kutuma maombi ya kwanza ni tarehe 15 mwz wa 8 kwahyo wanatoa kabla hamjaanza kuapply round ya pili ama?
 
Yah huwezi kuanza kuomba second round kama hujajua hatma yako first round.
 
Hongera kwa ufaulu wako kijana. Nakushauri MD competition ni kubwa sana vyuo vya serikali hivyo basi kama unataka MD omba vyuo vya private kama kairuki, st.joseph au bugando. Ila omba pia kozi hii ya Medical lab pale bugando au kcmc na Pharmacy kule St. John zikiwa kawa mbadala wako bila hvyo ukisema uombe vyuo vikubwa na kwa MD tu ukiikosa round hii ya mwanzo basi hakuna tena kozi ya afya utakayopata katika round ya pili.
Well said ila umesahau kotu kimoja mwambie asijaribu hata siku 1 kuchagua KIU kama atakiona kwenye guide book
 
Well said ila umesahau kotu kimoja mwambie asijaribu hata siku 1 kuchagua KIU kama atakiona kwenye guide book
Samahani nauliza biotechnology na laboratory science inayotolewa sua inahusu nini?
 
Samahani nauliza biotechnology na laboratory science inayotolewa sua inahusu nini?
Kwa uelewa wangu inahusu maswala yote ya vipimo na utafiti katika magonjwa ya binadamu,wanyama na tiba...
Ngoja waje wajuvi zaidi watakujuza
 
Hongera kwa ufaulu wako kijana. Nakushauri MD competition ni kubwa sana vyuo vya serikali hivyo basi kama unataka MD omba vyuo vya private kama kairuki, st.joseph au bugando. Ila omba pia kozi hii ya Medical lab pale bugando au kcmc na Pharmacy kule St. John zikiwa kawa mbadala wako bila hvyo ukisema uombe vyuo vikubwa na kwa MD tu ukiikosa round hii ya mwanzo basi hakuna tena kozi ya afya utakayopata katika round ya pili.

Kuna mdogo wangu ana GPA ya 3.9 ya clinical medicine ushauli wako bro
 
[QUOTE="remedy50, post: 27601965, member: 221223"
]Matokeo yake form 4 yako vp??[/QUOTE]
Form 4 alipata dvn two ya 21 na Phy-C, Bios-D ,na chem-C masomo mengine yote amepata -C
 
Back
Top Bottom