Ahsante sana mkuuwamesema mabadiliko ya karibuni ya hardware au software yatakua yameinstall file ambalo limeharibika au halijakaa vizuri au inaweza kuwa virus kutoka kwenye chanzo kisichojulikana.....kama una CD au flash yenye windows restart computer yako kwenye hiyo flash kisha chagua recovery took ili ijirekebishe yenyewe then itawaka kawaida....hapo panatosha...