Msaada: Kivimbe kwenye sehemu za siri

Msaada: Kivimbe kwenye sehemu za siri

nenda kituo cha kutolea huduma za afya
mara uponapo kumbuka kula vyakula vya kamba kamba...mboga majani..matango kwa wingi..matunda na kunywa maji ya kutosha
 
Hiyo ni bawasiri, tumia aloevera unakata kipande unakamua yale majimaji yake unapaka kwenye uvimbe moja kwa moja ukifanya hivo mfululizo kwa wiki nzima uvimbe utaisha kabisa.
 
Tafuta hii dawa, pakaa na pamba mara tatu kwa siku, acha kula vyakula vitakavyo leta choo kigumu, kula vyakula vyenye fibre nyingi pamoja na mapapai. Ukiona tatizo linazidi, nenda kwa Dr
Screenshot_20220206-203546.jpg
 
wataalamu nisaidieni,tatizo la kupata kivimbe(kama kijipu)sehemu ya Siri ya hajakubwa inasababishwa na nini na je ni bawasili?nini tiba yake?
Gombeyehealthcare.
Tunatoa huduma zifuatazo÷
1. Matatizo ya Mifupa.
2. Matatizo ya Mmengonyo wa Chakula.
3. Matatizo ya uzazi kwa jinsia zote.
4. Matatizo yanayo ambatana na mfumo wa damu.
Wasiliana nasi ÷
+255 678 211 747
+ 255 733 482 038
Tunapatikana Dar es salaam ILALA.
 
wataalamu nisaidieni,tatizo la kupata kivimbe(kama kijipu)sehemu ya Siri ya hajakubwa inasababishwa na nini na je ni bawasili?nini tiba yake?
Nicheki niko na tatizo hilo still natumia dawa za kienyeji. Kama una hitaji, me niko Dar naeza kukupunguzia nawe ukajaribu kujitibia
 
Nafkiri hiyo ni tatizo linalotibika kwa kubadili mfumo wa kula ... mfano kupata choo kigumu nipamoja na kutokunywa maji ya kutosha hapa inabidi ubadilike anza kunywa maji ya kutosha

Matumozi ya wanga kwa wingi inapelekea kupata choo kigumu hivyo basi ...pata matunda kama papai, pqrachichi, ndizi, mihigo, na kadhalika lebgo ni kurahizisha mmengenyo wa chakula kuna mdau hapo juu ameeleza vzri sana kuhusu matunda na mboga mboga

Kama tatizo lotaendelea zaidi usisite kumwona dactari ila naamini ndani ya wiki ukizingatia haya
Utakuja toa ushuhuda kwa wadau hapa ... natanguliza Pole ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom