MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,639
Jamani msaada wenu wa kisheria Kuhusu huyu jirani yangu ambaye ustaarabu mdogo umemshinda
Iko hivi kila siku asubuhi huwa natoka nje ili kusubiria bajaji au pikipiki kwa ajili ya kwenda kwenye mizunguko yangu,tatizo linakuja kuna jamaa flani jirani yangu imetokea zaidi ya mara 3 kila akiniona anasubiria sehemu yenye maji hapo ndipo utamuona ananipita kwa nguvu na gari lake na kunirushia maji,
Wajuzi wa sheria ili suala naweza kumpandisha jamaa mahakani na Kuweza kushinda hii kesi ikiwezekana aweze kunilipa fidia kwa usumbufu alionifanyia hizi siku mbili tatu?
Je na mimi nikianza kutembea na kakopo kadogo kamatope ili akinirushia tu na mimi namrudishia hapohapo on the spot.Je kisheria anaweza kunishitaki kwa hilo au imekaaje hii?
Na kama kuna mtu ana kitu cha kuongezea nitashukuru sana kwa msaada wake
Iko hivi kila siku asubuhi huwa natoka nje ili kusubiria bajaji au pikipiki kwa ajili ya kwenda kwenye mizunguko yangu,tatizo linakuja kuna jamaa flani jirani yangu imetokea zaidi ya mara 3 kila akiniona anasubiria sehemu yenye maji hapo ndipo utamuona ananipita kwa nguvu na gari lake na kunirushia maji,
Wajuzi wa sheria ili suala naweza kumpandisha jamaa mahakani na Kuweza kushinda hii kesi ikiwezekana aweze kunilipa fidia kwa usumbufu alionifanyia hizi siku mbili tatu?
Je na mimi nikianza kutembea na kakopo kadogo kamatope ili akinirushia tu na mimi namrudishia hapohapo on the spot.Je kisheria anaweza kunishitaki kwa hilo au imekaaje hii?
Na kama kuna mtu ana kitu cha kuongezea nitashukuru sana kwa msaada wake