Kibenje KK
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 267
- 380
Wewe ndo umejibu vyema watu wanachanganya bawasiri inakaa kwenye haja kubwa. Kuna binti aliwahi kupata hii kitu but alienda hospitali ikakatwa, now yupo vizuri. Mkuu nenda hospital
Basiri iko sehemu ya haja kubwa sio ukeni,kwenye uke wengi wanapata batholin cyst au virgina cyst,nenda hospital utapata huduma ya kufaa
Basiri iko sehemu ya haja kubwa sio ukeni,kwenye uke wengi wanapata batholin cyst au virgina cyst,nenda hospital utapata huduma ya kufaa